Karibu kwa Jarida la habari la DW.COM Tafadhali jisajili hapa.
Nchi 194 wanachama wa Shirika la Afya Duniani WHO zimeshindwa kuafikiana juu ya mkataba uliotafutwa kwa muda mrefu wa kujiandaa kwa majanga
Baraza tawala la mpito la Haiti linaloongoza taifa hilo lililokumbwa na ghasia, litabadilisha uongozi wake kila baada ya miezi mitano. Hii ni kulingana na nakala ya amri rasmi iliyoonekana na AFP